General
Kifungo cha maisha gerezani kwa mwanajeshi aliyeua mke na wanawe wawili Laikipia
📋 Article Summary
81 words
ALIYEKUWA Meja wa Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF), Peter Mugure Mwaura, amehukumiwa kifungo cha maisha jela baada ya Mahakama Kuu kumpata na hatia ya kumuua mkewe na watoto wao wawili. Jaji Martin Muya alisema mauaji hayo yalikuwa ya kinyama… ALIYEKUWA Meja wa Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF), Peter Mugure Mwaura, amehukumiwa kifungo cha maisha jela baada ya Mahakama Kuu kumpata na hatia ya kumuua mkewe na watoto wao wawili. Jaji Martin Muya alisema mauaji hayo yalikuwa ya kinyama…
Continue Reading
Full story on Taifa Leo
🔗 You will be taken to taifaleo.nation.co.ke