General
Kitengo kipya cha matibabu ya figo chafunguliwa Hospitali ya Mama Lucy
📋 Article Summary
81 words
Gavana wa Nairobi Johnson Sakaja ametangaza kufunguliwa kwa Kitengo kipya kilichopanuliwa cha huduma za figo (Renal Unit) katika Hospitali ya Mama Lucy Kibaki. Ufunguzi huo unalenga kuboresha upatikanaji wa huduma za kuokoa maisha za usafishaji damu (dialysis) na kuimarisha huduma… Gavana wa Nairobi Johnson Sakaja ametangaza kufunguliwa kwa Kitengo kipya kilichopanuliwa cha huduma za figo (Renal Unit) katika Hospitali ya Mama Lucy Kibaki. Ufunguzi huo unalenga kuboresha upatikanaji wa huduma za kuokoa maisha za usafishaji damu (dialysis) na kuimarisha huduma…
Continue Reading
Full story on Taifa Leo
🔗 You will be taken to taifaleo.nation.co.ke