General
Ol Kalou: Gachagua ashutumu IEBC akisema imeshindwa kuzima serikali kuwahonga wapigakura
📋 Article Summary
81 words
KIONGOZI wa chama cha Democracy for Citizens Party (DCP), Bw Rigathi Gachagua, ameshambulia vikali Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), akiishutumu kwa kushindwa kutekeleza wajibu wake wa kikatiba. Bw Gachagua alidai kuwa tume hiyo inafumbia macho madai ya kuhonga… KIONGOZI wa chama cha Democracy for Citizens Party (DCP), Bw Rigathi Gachagua, ameshambulia vikali Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), akiishutumu kwa kushindwa kutekeleza wajibu wake wa kikatiba. Bw Gachagua alidai kuwa tume hiyo inafumbia macho madai ya kuhonga…
Continue Reading
Full story on Taifa Leo
🔗 You will be taken to taifaleo.nation.co.ke